
Je, Wewe Ni Kijana Mbunifu Unayetafuta Njia Ya Kuanzisha Au Kukuza Biashara Yako? Mastercard Foundation, Kwa Kushirikiana Na Mashirika Yanayoongoza Katika Maendeleo Ya Biashara Na Ubunifu Barani Afrika, Imezindua Rasmi Duru Ya Pili Ya Maombi Kwa Programu Ya FAST (Fund For Alumni Start-ups In Transition).
Hii Si Tu Fursa Ya Kupata Ufadhili, Bali Ni Jukwaa Lenye Mchango Mkubwa Katika Kukuza Uwezo Wa Ujasiriamali, Kukuunganisha Na Wataalamu, Pamoja Na Kujenga Na Kuendeleza Mtandao Wa Ushirikiano Ndani Ya Afrika.
Faida Na Fursa Zinazotolewa Na Programu
1. Ufadhili Wa Hadi Dola 15,000 Za Kimarekani Kwa Kila Mradi Utakaochaguliwa
Fedha Hizi Zinatolewa Kulingana Na Kiwango Cha Maendeleo Ya Biashara Yako
2. Mafunzo Ya Kukuza Biashara Yako
3. Mshauri Binafsi (mentor) Kutoka Kwa Wataalamu Waliobobea
4. Fursa Ya Kushirikiana Na Vijana Wengine Wabunifu Kutoka Afrika
5. Fursa Ya Kuonekana Na Kutambulika Kupitia Mtandao Mpana Wa Mastercard Foundation
Programu Hii Inalenga Wahitimu Kutoka Mitandao/programu Zifuatazo:
Ikiwa Unakidhi Mojawapo Ya Sifa Hizi:
Hii Ni Fursa Adhimu Ya Kusonga Mbele Katika Safari Yako Ya Ujasiriamali.
Ikiwa Una Nia Thabiti Ya Kuleta Mabadiliko Kupitia Biashara, Programu Ya FAST Itakupa Msaada Wote Utakaohitajika Kufikia Malengo Yako.
Tuma Maombi Sasa.
Tembelea: https://opportunitiesforyouth.org/2025/04/15/apply-now-mastercard-foundation-fast-program-2025-up-to-15000-in-venture-support-for-early-stage-entrepreneurs/#google_vignette